Total Pageviews

Sunday, June 9, 2013

WIZI MBAYA ANGALIA HAPA UONE WALICHO FANYIWA HAWA

hii imetokea huko ghana ambako wanawake wawili walikamatwa waki iba palm oil supermarket na kupewa adhabu ya kuwekewa mafuta hayo kwenye mapaja yao na kufungwa mikono. kusema ukweli sio kitendo kizuri kwa walivyo fanyiwa na hatahivyo kuibasio vizuri

No comments:

Post a Comment