Total Pageviews

Sunday, June 2, 2013

ANGALIA PICHA ZA AJALIMBAYA ILIYOTOKEA ENEO LA MASEYU MOROGORO


Huyu ni mmoja wapo wa wahanga wa ajali hiyo akiwa kaumia vibaya
Hili ni mojawapo ya gari lilopata ajali 
Mhanga waajali hiyo akiwa kaumia vibaya mguu
wasamaria wema wakitoa msaada katika ajili hiyo
Hili ni mojawapo ya magari hayo yaliyopata ajali maeneo ya  Maseyu ambapo ajali hiyo ilitokea kwenye barabara ya Dar es salaam Morogoro ambapo ilijumuisha magari matatu ambayo yalisababisha kufungwa kwa barabara hiyo kwamda. 
Ajali hiyo imepelekeo vifo vya watu watano

No comments:

Post a Comment