Kwahabari zilizotufikia kutoka pretoria south africa ambako msanii albart mangwea alikua huko na msanii mwemzake M2THE P
Zimetufikia habari mbaya kwamba msanii mkongwe wa muziki huu wa bongo fleiver ilikutwa amefariki baada ya kuji over doze madawa na mwenzake akiwahoi na kakimbizwa hospitali.
Ikumbukwe walikua katika jiji la pritoria. fuatilia blog hii kwa info zaidi
Mungu ailaze roho ya ngwear mahali pema peponi
Zimetufikia habari mbaya kwamba msanii mkongwe wa muziki huu wa bongo fleiver ilikutwa amefariki baada ya kuji over doze madawa na mwenzake akiwahoi na kakimbizwa hospitali.
Ikumbukwe walikua katika jiji la pritoria. fuatilia blog hii kwa info zaidi
Mungu ailaze roho ya ngwear mahali pema peponi

No comments:
Post a Comment