Total Pageviews

Saturday, May 4, 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA JANA

Hatimaye waziri anayehusika na secta ya elimu jana alitangaza bungen kuwa matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka jana yatarudiwa kusahihishwa upya kwakutumia mfumo uliotumika mwaka jana.Kwataarifazaidi endelea kufuatilia blogg yako pendwa hasa kwa info za ki uanafunzi zaidi.

No comments:

Post a Comment