Total Pageviews

Wednesday, May 29, 2013

HAYA NDIO MANENO YA JIDE BAADA YA KIFO CHA NGWEA KUHUSU ILE SHOW YAKE YA KUTIMIZA MIAKA 13

                           Ile show kubwa ya mwana dada {bint machoz}lady j dee ya kutimiza miaka 13 ambayo ilipangwa kufanyika kwenye mgahawa wake pale nyumbani lounch mnamo tarehe 31 mwezi huu.
                            hii show imehairishwa rasmi na mwana dada huyo mkongwe wa muziki huu wa bongo baada ya kuondoka kwa mkongwe mwingine wa mziki huu Albart mangwea na kutokana na hali hii imekua vigumu kwa hiyo show kuendelea kama ilivyo kua imepangwa na imebidi ihairishwe hadi mazishi ya ngwea yatakapo fanyika then ndipo hapo ita tangazwa upya itakua tarehe ngapi. 
               REST IN PEACE NGWEA
lets say AMEN TO HIM

No comments:

Post a Comment